Marko 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Pia, wakamlazimisha mpita njia afanye utumishi, mtu fulani aitwaye Simoni wa Kirene, baba ya Aleksanda na Rufo, aliyekuwa akitoka mashambani, aubebe mti wa mateso* wa Yesu.+ Luka 23:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Walipokuwa wakienda naye, wakamshika Simoni wa Kirene, aliyekuwa akitoka mashambani, nao wakamtwika mti wa mateso* aubebe na kumfuata Yesu.+
21 Pia, wakamlazimisha mpita njia afanye utumishi, mtu fulani aitwaye Simoni wa Kirene, baba ya Aleksanda na Rufo, aliyekuwa akitoka mashambani, aubebe mti wa mateso* wa Yesu.+
26 Walipokuwa wakienda naye, wakamshika Simoni wa Kirene, aliyekuwa akitoka mashambani, nao wakamtwika mti wa mateso* aubebe na kumfuata Yesu.+