Marko 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Pia, wakamlazimisha mpita njia afanye utumishi, mtu fulani aitwaye Simoni wa Kirene, baba ya Aleksanda na Rufo, aliyekuwa akitoka mashambani, aubebe mti wa mateso* wa Yesu.+ Yohana 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yesu akabeba mti wake wa mateso,* akaenda mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ au Golgotha katika Kiebrania.+
21 Pia, wakamlazimisha mpita njia afanye utumishi, mtu fulani aitwaye Simoni wa Kirene, baba ya Aleksanda na Rufo, aliyekuwa akitoka mashambani, aubebe mti wa mateso* wa Yesu.+
17 Yesu akabeba mti wake wa mateso,* akaenda mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ au Golgotha katika Kiebrania.+