Mathayo 26:60, 61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Lakini hawakupata, ingawa mashahidi wengi wa uwongo walijitokeza.+ Baadaye, mashahidi wawili wakajitokeza 61 na kusema: “Mtu huyu alisema, ‘Ninaweza kuliangusha chini hekalu la Mungu na kulijenga kwa siku tatu.’”+ Yohana 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akawajibu: “Libomoeni hekalu hili, na kwa siku tatu nitalisimamisha.”+
60 Lakini hawakupata, ingawa mashahidi wengi wa uwongo walijitokeza.+ Baadaye, mashahidi wawili wakajitokeza 61 na kusema: “Mtu huyu alisema, ‘Ninaweza kuliangusha chini hekalu la Mungu na kulijenga kwa siku tatu.’”+