Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 27:39, 40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Na wale waliokuwa wakipita hapo wakamtukana,+ huku wakitikisa vichwa vyao+ 40 wakisema: “Wewe uliyetaka kuliangusha chini hekalu na kulijenga kwa siku tatu,+ jiokoe mwenyewe! Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, shuka kutoka kwenye mti wa mateso!”*+

  • Yohana 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yesu akawajibu: “Libomoeni hekalu hili, na kwa siku tatu nitalisimamisha.”+

  • Matendo 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa mfano, tumemsikia akisema kwamba huyu Yesu Mnazareti atapaangusha mahali hapa na kuzibadili desturi ambazo Musa alitukabidhi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki