Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 15:29-32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wale waliokuwa wakipita hapo wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao+ wakisema: “Aha! Wewe uliyetaka kuliangusha chini hekalu na kulijenga kwa siku tatu,+ 30 jiokoe mwenyewe kwa kushuka kutoka kwenye mti wa mateso.”* 31 Vivyo hivyo, wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakimdhihaki kati yao wakisema: “Aliwaokoa wengine lakini hawezi kujiokoa mwenyewe!+ 32 Acheni Kristo, Mfalme wa Israeli, ashuke sasa kutoka kwenye mti wa mateso,* ili tuone na kuamini.”+ Hata wale waliotundikwa mtini kando yake walikuwa wakimshutumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki