Luka 23:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Watu walikuwa wamesimama hapo wakitazama. Lakini wale viongozi walikuwa wakimdhihaki na kusema: “Aliwaokoa wengine; mwacheni ajiokoe mwenyewe, ikiwa yeye ndiye Yule Aliyechaguliwa, Kristo wa Mungu.”+
35 Watu walikuwa wamesimama hapo wakitazama. Lakini wale viongozi walikuwa wakimdhihaki na kusema: “Aliwaokoa wengine; mwacheni ajiokoe mwenyewe, ikiwa yeye ndiye Yule Aliyechaguliwa, Kristo wa Mungu.”+