Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wote wanaoniona hunikejeli;+

      Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+

       8 “Alijikabidhi mwenyewe kwa Yehova. Acha Yeye amwokoe!

      Acha Yeye amwokoe, kwa sababu Yeye anampenda sana!”+

  • Mathayo 27:42, 43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 “Aliwaokoa wengine lakini hawezi kujiokoa mwenyewe! Yeye ni Mfalme wa Israeli;+ acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso* nasi tutamwamini. 43 Amemtegemea Mungu; acheni Mungu amwokoe ikiwa anamtaka,+ kwa maana alisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu.’”+

  • Marko 15:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Vivyo hivyo, wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakimdhihaki kati yao wakisema: “Aliwaokoa wengine lakini hawezi kujiokoa mwenyewe!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki