Yohana 1:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nathanaeli akamwambia: “Rabi, wewe ni Mwana wa Mungu, wewe ni Mfalme wa Israeli.”+ Yohana 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi wakachukua matawi ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki, nao wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Tunaomba umwokoe! Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova,*+ Mfalme wa Israeli!”+
13 Basi wakachukua matawi ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki, nao wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Tunaomba umwokoe! Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova,*+ Mfalme wa Israeli!”+