Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 27:41-43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Vivyo hivyo, wakuu wa makuhani, waandishi, na wazee wakaanza kumdhihaki wakisema:+ 42 “Aliwaokoa wengine lakini hawezi kujiokoa mwenyewe! Yeye ni Mfalme wa Israeli;+ acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso* nasi tutamwamini. 43 Amemtegemea Mungu; acheni Mungu amwokoe ikiwa anamtaka,+ kwa maana alisema, ‘Mimi ni Mwana wa Mungu.’”+

  • Luka 23:35, 36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Watu walikuwa wamesimama hapo wakitazama. Lakini wale viongozi walikuwa wakimdhihaki na kusema: “Aliwaokoa wengine; mwacheni ajiokoe mwenyewe, ikiwa yeye ndiye Yule Aliyechaguliwa, Kristo wa Mungu.”+ 36 Hata wale wanajeshi wakamdhihaki, wakamkaribia na kumpa divai kali+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki