Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaoniona hunikejeli;+Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+ Zaburi 109:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nimekuwa kitu cha kudhihakiwa nao.+ Wanaponiona, wanatikisa vichwa vyao.+ Isaya 53:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+Mtu aliyekusudiwa kupata* maumivu na aliyezoea magonjwa. Ilikuwa kana kwamba uso wake ulifichwa kutoka kwetu.* Alidharauliwa, nasi tulimwona kuwa asiye na maana.+
3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+Mtu aliyekusudiwa kupata* maumivu na aliyezoea magonjwa. Ilikuwa kana kwamba uso wake ulifichwa kutoka kwetu.* Alidharauliwa, nasi tulimwona kuwa asiye na maana.+