-
Mathayo 27:39-42Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
39 Na wale waliokuwa wakipita hapo wakamtukana,+ huku wakitikisa vichwa vyao+ 40 wakisema: “Wewe uliyetaka kuliangusha chini hekalu na kulijenga kwa siku tatu,+ jiokoe mwenyewe! Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, shuka kutoka kwenye mti wa mateso!”*+ 41 Vivyo hivyo, wakuu wa makuhani, waandishi, na wazee wakaanza kumdhihaki wakisema:+ 42 “Aliwaokoa wengine lakini hawezi kujiokoa mwenyewe! Yeye ni Mfalme wa Israeli;+ acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso* nasi tutamwamini.
-