Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 27:39-42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Na wale waliokuwa wakipita hapo wakamtukana,+ huku wakitikisa vichwa vyao+ 40 wakisema: “Wewe uliyetaka kuliangusha chini hekalu na kulijenga kwa siku tatu,+ jiokoe mwenyewe! Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, shuka kutoka kwenye mti wa mateso!”*+ 41 Vivyo hivyo, wakuu wa makuhani, waandishi, na wazee wakaanza kumdhihaki wakisema:+ 42 “Aliwaokoa wengine lakini hawezi kujiokoa mwenyewe! Yeye ni Mfalme wa Israeli;+ acheni sasa ashuke kutoka kwenye mti wa mateso* nasi tutamwamini.

  • Marko 14:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 “Tulimsikia akisema, ‘Nitaliangusha chini hekalu hili lililojengwa kwa mikono, na kwa siku tatu nitajenga lingine ambalo halijajengwa kwa mikono.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki