Mathayo 12:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa katika tumbo la samaki mkubwa kwa siku tatu mchana na usiku,+ ndivyo Mwana wa binadamu atakavyokuwa katika moyo wa ardhi siku tatu mchana na usiku.+ Yohana 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akawajibu: “Libomoeni hekalu hili, na kwa siku tatu nitalisimamisha.”+
40 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa katika tumbo la samaki mkubwa kwa siku tatu mchana na usiku,+ ndivyo Mwana wa binadamu atakavyokuwa katika moyo wa ardhi siku tatu mchana na usiku.+