Mathayo 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Tangu wakati huo, Yesu akaanza kuwafafanulia wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kuteswa sana na wazee, wakuu wa makuhani, na waandishi, kisha atauawa, na siku ya tatu afufuliwe.+ Mathayo 17:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 nao watamuua, na siku ya tatu atafufuliwa.”+ Kwa hiyo wakahuzunika sana. Mathayo 27:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 wakisema: “Bwana, tumekumbuka mjanja huyo alipokuwa hai alisema, ‘Nitafufuliwa baada ya siku tatu.’+ Luka 24:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 naye akawaambia: “Imeandikwa kwamba Kristo atateseka na kufufuliwa kutoka kwa wafu siku ya tatu,+
21 Tangu wakati huo, Yesu akaanza kuwafafanulia wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kuteswa sana na wazee, wakuu wa makuhani, na waandishi, kisha atauawa, na siku ya tatu afufuliwe.+
63 wakisema: “Bwana, tumekumbuka mjanja huyo alipokuwa hai alisema, ‘Nitafufuliwa baada ya siku tatu.’+