38 Hata hivyo, yule mwanamume aliyetokwa na roho waovu akaendelea kumsihi aende pamoja naye, lakini Yesu hakumruhusu, akamwambia:+ 39 “Rudi nyumbani na uendelee kusimulia mambo ambayo Mungu amekutendea.” Basi akarudi, akitangaza katika jiji lote mambo ambayo Yesu alimtendea.