Yohana 6:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Nao wakaanza kusema: “Je, huyu si Yesu mwana wa Yosefu, ambaye baba yake na mama yake tunawajua?+ Sasa anawezaje kusema, ‘Nimeshuka kutoka mbinguni’?” Yohana 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wayahudi wakashangaa na kuulizana: “Mtu huyu alipataje ujuzi wa Maandiko,*+ ingawa hajafundishwa shuleni?”*+
42 Nao wakaanza kusema: “Je, huyu si Yesu mwana wa Yosefu, ambaye baba yake na mama yake tunawajua?+ Sasa anawezaje kusema, ‘Nimeshuka kutoka mbinguni’?”
15 Wayahudi wakashangaa na kuulizana: “Mtu huyu alipataje ujuzi wa Maandiko,*+ ingawa hajafundishwa shuleni?”*+