Luka 4:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha akaenda Nazareti,+ mahali alipolelewa, na kulingana na desturi yake siku ya Sabato, akaingia katika sinagogi+ naye akasimama ili kusoma. 17 Basi akapewa kitabu cha kukunjwa cha nabii Isaya, akakifungua na kupata mahali palipoandikwa:
16 Kisha akaenda Nazareti,+ mahali alipolelewa, na kulingana na desturi yake siku ya Sabato, akaingia katika sinagogi+ naye akasimama ili kusoma. 17 Basi akapewa kitabu cha kukunjwa cha nabii Isaya, akakifungua na kupata mahali palipoandikwa: