Mathayo 13:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Kwa hiyo, wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+ Lakini Yesu akawaambia: “Nabii anaheshimiwa kila mahali isipokuwa katika eneo lake la nyumbani na katika nyumba yake mwenyewe.”+ Luka 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia hakuna nabii anayekubaliwa katika eneo la nyumbani kwao.+ Yohana 4:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hata hivyo, Yesu alitoa ushahidi kwamba nabii haheshimiwi katika nchi yake.+
57 Kwa hiyo, wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+ Lakini Yesu akawaambia: “Nabii anaheshimiwa kila mahali isipokuwa katika eneo lake la nyumbani na katika nyumba yake mwenyewe.”+