Marko 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yesu akawaambia: “Nabii anaheshimiwa kila mahali isipokuwa katika eneo lake la nyumbani na kati ya watu wake wa ukoo, na katika nyumba yake mwenyewe.”+ Luka 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia hakuna nabii anayekubaliwa katika eneo la nyumbani kwao.+ Yohana 4:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hata hivyo, Yesu alitoa ushahidi kwamba nabii haheshimiwi katika nchi yake.+
4 Lakini Yesu akawaambia: “Nabii anaheshimiwa kila mahali isipokuwa katika eneo lake la nyumbani na kati ya watu wake wa ukoo, na katika nyumba yake mwenyewe.”+