Mathayo 10:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Msichukue dhahabu, fedha, wala shaba kwenye mishipi yenu ya pesa,+ 10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili,* wala viatu, wala fimbo,+ kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+
9 Msichukue dhahabu, fedha, wala shaba kwenye mishipi yenu ya pesa,+ 10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili,* wala viatu, wala fimbo,+ kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+