Matendo 2:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Petro akawaambia: “Tubuni,+ na kila mmoja wenu abatizwe+ katika jina la Yesu Kristo ili msamehewe dhambi zenu,+ nanyi mtapokea zawadi ya bure ya roho takatifu. Matendo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zifutwe,+ ili majira yenye kuburudisha yaje kutoka kwa Yehova mwenyewe,*
38 Petro akawaambia: “Tubuni,+ na kila mmoja wenu abatizwe+ katika jina la Yesu Kristo ili msamehewe dhambi zenu,+ nanyi mtapokea zawadi ya bure ya roho takatifu.
19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zifutwe,+ ili majira yenye kuburudisha yaje kutoka kwa Yehova mwenyewe,*