Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yesu akawatuma hao 12 na kuwaagiza:+ “Msiende katika barabara ya mataifa, wala msiingie katika jiji lolote la Wasamaria;+ 6 badala yake, nendeni kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.+

  • Mathayo 15:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Yesu akamjibu: “Haifai kuuchukua mkate wa watoto na kuwatupia mbwa wadogo.”

  • Waroma 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ambao ni Waisraeli. Wao ndio waliofanywa kuwa wana+ na kupewa utukufu na maagano+ na Sheria+ na utumishi mtakatifu+ na ahadi.+

  • Waefeso 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huo hamkuwa na Kristo, mlikuwa mmetengwa na taifa la Israeli, mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi;+ hamkuwa na tumaini na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki