Mathayo 12:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu kwa kumwambia: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+ Yohana 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi wakamwambia: “Utafanya ishara gani,+ ili tuone na kukuamini? Unafanya kazi gani?
38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu kwa kumwambia: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+