Mathayo 12:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu kwa kumwambia: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+ Marko 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo akahuzunika sana rohoni na kusema: “Kwa nini kizazi hiki kinatafuta ishara?+ Kwa kweli nasema, kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote.”+ Yohana 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo, Wayahudi wakamuuliza: “Utatuonyesha ishara gani,+ kwa maana unafanya mambo haya?” 1 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Wayahudi wanaomba ishara+ na Wagiriki wanatafuta hekima;
38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu kwa kumwambia: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+
12 Kwa hiyo akahuzunika sana rohoni na kusema: “Kwa nini kizazi hiki kinatafuta ishara?+ Kwa kweli nasema, kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote.”+