Mathayo 12:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu kwa kumwambia: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+ Mathayo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mafarisayo na Masadukayo wakamjia Yesu, na ili kumjaribu wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.+ Yohana 4:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Lakini, Yesu akamwambia: “Msipoona ishara na maajabu, hamtaamini kamwe.”+ Yohana 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi wakamwambia: “Utafanya ishara gani,+ ili tuone na kukuamini? Unafanya kazi gani?
38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu kwa kumwambia: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+
16 Mafarisayo na Masadukayo wakamjia Yesu, na ili kumjaribu wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.+