Mathayo 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, Yesu akawaamuru: “Msimwambie mtu yeyote maono hayo mpaka Mwana wa binadamu atakapofufuliwa kutoka kwa wafu.”+ Luka 9:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Walipokuwa wakisikia ile sauti, wakamwona Yesu akiwa peke yake. Lakini wakakaa kimya na katika siku hizo hawakumwambia mtu yeyote lolote kati ya mambo waliyoona.+
9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, Yesu akawaamuru: “Msimwambie mtu yeyote maono hayo mpaka Mwana wa binadamu atakapofufuliwa kutoka kwa wafu.”+
36 Walipokuwa wakisikia ile sauti, wakamwona Yesu akiwa peke yake. Lakini wakakaa kimya na katika siku hizo hawakumwambia mtu yeyote lolote kati ya mambo waliyoona.+