Mathayo 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, Yesu akawaamuru: “Msimwambie mtu yeyote maono hayo mpaka Mwana wa binadamu atakapofufuliwa kutoka kwa wafu.”+ Marko 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, akawaamuru wasimwambie mtu yeyote kile walichoona,+ hadi Mwana wa binadamu atakapofufuliwa kutoka kwa wafu.+
9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, Yesu akawaamuru: “Msimwambie mtu yeyote maono hayo mpaka Mwana wa binadamu atakapofufuliwa kutoka kwa wafu.”+
9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, akawaamuru wasimwambie mtu yeyote kile walichoona,+ hadi Mwana wa binadamu atakapofufuliwa kutoka kwa wafu.+