Mathayo 12:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yesu alipojua jambo hilo, akaondoka hapo. Watu wengi wakamfuata,+ naye akawaponya wote, 16 lakini akawaagiza kwa kusisitiza wasimtangaze,+ Marko 8:29, 30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye akawauliza: “Hata hivyo, ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu: “Wewe ndiye Kristo.”+ 30 Ndipo akawaamuru wasimwambie mtu yeyote kumhusu.+
15 Yesu alipojua jambo hilo, akaondoka hapo. Watu wengi wakamfuata,+ naye akawaponya wote, 16 lakini akawaagiza kwa kusisitiza wasimtangaze,+
29 Naye akawauliza: “Hata hivyo, ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu: “Wewe ndiye Kristo.”+ 30 Ndipo akawaamuru wasimwambie mtu yeyote kumhusu.+