40 Andrea,+ ndugu ya Simoni Petro alikuwa mmoja wa wale wawili waliosikia mambo aliyosema Yohana na kumfuata Yesu. 41 Kwanza alimpata Simoni ndugu yake na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (neno ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Kristo”),
68 Simoni Petro akamjibu: “Bwana, tutaenda kwa nani?+ Wewe una maneno ya uzima wa milele.+69 Tumeamini na tumejua kwamba wewe ndiye Mtakatifu wa Mungu.”+