Mathayo 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Simoni Petro akajibu: “Wewe ndiye Kristo,+ Mwana wa Mungu aliye hai.”+ Marko 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye akawauliza: “Hata hivyo, ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu: “Wewe ndiye Kristo.”+ Yohana 1:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwanza alimpata Simoni ndugu yake na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (neno ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Kristo”), Yohana 6:68, 69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Simoni Petro akamjibu: “Bwana, tutaenda kwa nani?+ Wewe una maneno ya uzima wa milele.+ 69 Tumeamini na tumejua kwamba wewe ndiye Mtakatifu wa Mungu.”+
41 Kwanza alimpata Simoni ndugu yake na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (neno ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Kristo”),
68 Simoni Petro akamjibu: “Bwana, tutaenda kwa nani?+ Wewe una maneno ya uzima wa milele.+ 69 Tumeamini na tumejua kwamba wewe ndiye Mtakatifu wa Mungu.”+