Mathayo 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo akawaagiza wanafunzi kwa kusisitiza wasimwambie yeyote kwamba yeye ndiye Kristo.+ Marko 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, akawaamuru wasimwambie mtu yeyote kile walichoona,+ hadi Mwana wa binadamu atakapofufuliwa kutoka kwa wafu.+ Luka 9:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo akawaagiza kwa uthabiti wasimwambie mtu yeyote jambo hilo,+ 22 lakini akasema: “Lazima Mwana wa binadamu apatwe na mateso mengi, akataliwe na wazee, wakuu wa makuhani, na waandishi, kisha atauawa,+ na siku ya tatu atafufuliwa.”+
9 Walipokuwa wakishuka kutoka mlimani, akawaamuru wasimwambie mtu yeyote kile walichoona,+ hadi Mwana wa binadamu atakapofufuliwa kutoka kwa wafu.+
21 Ndipo akawaagiza kwa uthabiti wasimwambie mtu yeyote jambo hilo,+ 22 lakini akasema: “Lazima Mwana wa binadamu apatwe na mateso mengi, akataliwe na wazee, wakuu wa makuhani, na waandishi, kisha atauawa,+ na siku ya tatu atafufuliwa.”+