Mathayo 5:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hata hivyo, ninawaambia kila mtu anayemtaliki mke wake kwa sababu nyingine isipokuwa uasherati,* anamweka katika kishawishi cha kufanya uzinzi, na yeyote anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa anafanya uzinzi.+ Mathayo 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ninawaambia kwamba mtu yeyote anayemtaliki mke wake isipokuwa kwa sababu ya uasherati,* na kumwoa mwingine, anafanya uzinzi.”+ Luka 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Kila mtu anayempa talaka mke wake na kuoa mwingine anafanya uzinzi, na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka na mumewe anafanya uzinzi.+
32 Hata hivyo, ninawaambia kila mtu anayemtaliki mke wake kwa sababu nyingine isipokuwa uasherati,* anamweka katika kishawishi cha kufanya uzinzi, na yeyote anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa anafanya uzinzi.+
9 Ninawaambia kwamba mtu yeyote anayemtaliki mke wake isipokuwa kwa sababu ya uasherati,* na kumwoa mwingine, anafanya uzinzi.”+
18 “Kila mtu anayempa talaka mke wake na kuoa mwingine anafanya uzinzi, na yeyote anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka na mumewe anafanya uzinzi.+