Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Yeyote anayempenda baba au mama kuliko anavyonipenda hanistahili; na yeyote anayempenda mwana au binti kuliko anavyonipenda hanistahili.+

  • Mathayo 19:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na kila mtu ambaye ameacha nyumba au ndugu au dada au baba au mama au watoto au mashamba kwa ajili ya jina langu atapokea mara 100 zaidi, naye ataurithi uzima wa milele.+

  • Luka 18:29, 30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia, hakuna yeyote ambaye ameacha nyumba, au mke, au ndugu, au wazazi, au watoto kwa ajili ya Ufalme wa Mungu+ 30 ambaye hatapata mara nyingi zaidi wakati huu, na katika mfumo wa mambo* unaokuja, uzima wa milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki