8Yesu aliposhuka kutoka mlimani, umati mkubwa ukamfuata. 2 Na tazama! mtu fulani mwenye ukoma akaja na kumsujudia* akimwambia: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+
12 Pindi nyingine alipokuwa katika jiji fulani, tazama! kulikuwa na mwanamume aliyejaa ukoma! Alipomwona Yesu, akajiangusha kifudifudi na kumwomba: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+