Mathayo 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”* Lakini wakaanza kujadiliana kati yao wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Kwa nini hamkumwamini?’+ Luka 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Je, ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”*
25 Ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”* Lakini wakaanza kujadiliana kati yao wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Kwa nini hamkumwamini?’+