32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu katika njia ya uadilifu, lakini hamkumwamini. Hata hivyo, wakusanya kodi na makahaba walimwamini,+ nanyi, ijapokuwa mliona hilo, hamkujuta na kumwamini.
30 Je, ubatizo wa Yohana+ ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?* Nijibuni.”+31 Basi wakaanza kujadiliana kati yao, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuuliza, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’
29 (Watu wote na wakusanya kodi waliposikia jambo hilo, wakamtangaza Mungu kuwa mwadilifu, kwa sababu walikuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.+30 Lakini Mafarisayo na wale wenye ujuzi wa Sheria walilipuuza shauri la* Mungu,+ kwa sababu hawakuwa wamebatizwa na Yohana.)