-
Marko 11:31Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
31 Kwa hiyo wakaanza kujadiliana kwa kutoa sababu miongoni mwao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Kutoka mbinguni,’ atasema, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’
-