Mathayo 23:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wao hupenda mahali penye heshima zaidi kwenye milo ya jioni na viti vya mbele* katika masinagogi+ 7 na kusalimiwa sokoni na kuitwa Rabi* na watu. Luka 11:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ole wenu Mafarisayo, kwa sababu mnapenda viti vya mbele* katika masinagogi na kusalimiwa sokoni!+
6 Wao hupenda mahali penye heshima zaidi kwenye milo ya jioni na viti vya mbele* katika masinagogi+ 7 na kusalimiwa sokoni na kuitwa Rabi* na watu.