Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 12:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Akaendelea kufundisha akisema: “Jihadharini na waandishi kwa kuwa wanapenda kutembea wakiwa wamevaa kanzu na wanapenda kusalimiwa sokoni+ 39 na viti vya mbele* katika masinagogi na mahali penye heshima zaidi kwenye milo ya jioni.+

  • Luka 11:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Ole wenu Mafarisayo, kwa sababu mnapenda viti vya mbele* katika masinagogi na kusalimiwa sokoni!+

  • Luka 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha akawapa mfano watu walioalikwa, alipoona jinsi walivyokuwa wakichagua kuketi mahali pa heshima zaidi.+ Akawaambia:

  • Luka 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini unapoalikwa, nenda uketi mahali pa chini kabisa, ili mtu aliyekualika akija akuambie, ‘Rafiki yangu, nenda uketi mahali pa heshima zaidi.’ Kisha utakuwa na heshima mbele ya wageni wenzako wote.+

  • Luka 20:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 “Jihadharini na waandishi wanaopenda kutembea wakiwa wamevaa kanzu na wanaopenda kusalimiwa sokoni, na viti vya mbele* katika masinagogi na mahali penye heshima zaidi kwenye milo ya jioni,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki