38 Akaendelea kufundisha akisema: “Jihadharini na waandishi kwa kuwa wanapenda kutembea wakiwa wamevaa kanzu na wanapenda kusalimiwa sokoni+39 na viti vya mbele* katika masinagogi na mahali penye heshima zaidi kwenye milo ya jioni.+
10 Lakini unapoalikwa, nenda uketi mahali pa chini kabisa, ili mtu aliyekualika akija akuambie, ‘Rafiki yangu, nenda uketi mahali pa heshima zaidi.’ Kisha utakuwa na heshima mbele ya wageni wenzako wote.+
46 “Jihadharini na waandishi wanaopenda kutembea wakiwa wamevaa kanzu na wanaopenda kusalimiwa sokoni, na viti vya mbele* katika masinagogi na mahali penye heshima zaidi kwenye milo ya jioni,+