-
Luka 20:45-47Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
45 Watu wote walipokuwa wakimsikiliza, akawaambia wanafunzi wake: 46 “Jihadharini na waandishi wanaopenda kutembea wakiwa wamevaa kanzu na wanaopenda kusalimiwa sokoni, na viti vya mbele* katika masinagogi na mahali penye heshima zaidi kwenye milo ya jioni,+ 47 na ambao humaliza nyumba* za wajane na kutoa sala ndefu ili waonekane.* Hao watapata hukumu kali* zaidi.”
-