Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Waandishi na Mafarisayo wamejiketisha kwenye kiti cha Musa.

  • Mathayo 23:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wao hupenda mahali penye heshima zaidi kwenye milo ya jioni na viti vya mbele* katika masinagogi+ 7 na kusalimiwa sokoni na kuitwa Rabi* na watu.

  • Marko 12:38-40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Akaendelea kufundisha akisema: “Jihadharini na waandishi kwa kuwa wanapenda kutembea wakiwa wamevaa kanzu na wanapenda kusalimiwa sokoni+ 39 na viti vya mbele* katika masinagogi na mahali penye heshima zaidi kwenye milo ya jioni.+ 40 Wao ndio wanaomaliza nyumba* za wajane na kutoa sala ndefu ili waonekane.* Hao watapata hukumu kali zaidi.”*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki