-
Mathayo 23:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 “Waandishi na Mafarisayo wamejiketisha kwenye kiti cha Musa.
-
-
Marko 12:38-40Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
38 Akaendelea kufundisha akisema: “Jihadharini na waandishi kwa kuwa wanapenda kutembea wakiwa wamevaa kanzu na wanapenda kusalimiwa sokoni+ 39 na viti vya mbele* katika masinagogi na mahali penye heshima zaidi kwenye milo ya jioni.+ 40 Wao ndio wanaomaliza nyumba* za wajane na kutoa sala ndefu ili waonekane.* Hao watapata hukumu kali zaidi.”*
-