Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Kisha watu watawakabidhi kwenye dhiki+ na kuwaua ninyi,+ nanyi mtachukiwa na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+

  • Luka 21:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Lakini kabla ya mambo hayo yote kutokea, watu watawakamata ninyi na kuwatesa+ na kuwakabidhi kwenye masinagogi na magereza. Mtapelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa sababu ya jina langu.+ 13 Hivyo, mtapata nafasi ya kutoa ushahidi.

  • 2 Timotheo 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu* katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+

  • Ufunuo 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope mateso yatakayokupata hivi karibuni.+ Tazama! Ibilisi ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili, nanyi mtapata dhiki kwa siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo, nami nitakupa taji la uzima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki