Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jihadharini na watu, kwa maana watawapeleka mahakamani+ na kuwapiga mijeledi+ katika masinagogi+ yao.

  • Mathayo 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu,+ lakini yule atakayevumilia* mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+

  • Marko 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Lakini ninyi jihadharini. Watu watawapeleka mahakamani,+ nanyi mtapigwa katika masinagogi+ na kusimamishwa mbele ya magavana na wafalme kwa ajili yangu, ili kuwa ushahidi kwao.+

  • Marko 13:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu.+ Lakini yule atakayevumilia* mpaka mwisho+ ndiye atakayeokolewa.+

  • Luka 21:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Lakini kabla ya mambo hayo yote kutokea, watu watawakamata ninyi na kuwatesa+ na kuwakabidhi kwenye masinagogi na magereza. Mtapelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa sababu ya jina langu.+ 13 Hivyo, mtapata nafasi ya kutoa ushahidi.

  • Luka 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu.+

  • Yohana 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini watawatendea mambo yote haya kwa ajili ya jina langu, kwa sababu hawamjui Yule aliyenituma.+

  • 2 Timotheo 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu* katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki