Yohana 16:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watu watawafukuza katika masinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja ambayo kila mtu atakayewaua+ atafikiri kwamba amemtolea Mungu utumishi mtakatifu. 3 Lakini watafanya mambo haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.+
2 Watu watawafukuza katika masinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja ambayo kila mtu atakayewaua+ atafikiri kwamba amemtolea Mungu utumishi mtakatifu. 3 Lakini watafanya mambo haya kwa sababu hawamjui Baba wala mimi.+