Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kisha wakamuuliza: “Baba yako yuko wapi?” Yesu akajibu: “Ninyi hamnijui mimi wala Baba yangu.+ Kama mngenijua mimi, mngemjua Baba yangu pia.”+

  • Yohana 15:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kumbukeni neno nililowaambia: Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake. Ikiwa wamenitesa mimi, watawatesa ninyi pia;+ ikiwa wamelishika neno langu, watalishika lenu pia. 21 Lakini watawatendea mambo yote haya kwa ajili ya jina langu, kwa sababu hawamjui Yule aliyenituma.+

  • Waroma 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana ninawatolea ushahidi kwamba wana bidii kwa ajili ya Mungu,+ lakini si kulingana na ujuzi sahihi.

  • 1 Wakorintho 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hakuna mtawala hata mmoja wa mfumo huu wa mambo* aliyeijua hekima hii,+ kwa maana kama wangejua hawangemuua* Bwana mwenye utukufu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki