Yohana 7:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Je, kuna yeyote kati ya watawala au Mafarisayo ambaye amemwamini?+ Matendo 13:27, 28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana wakaaji wa Yerusalemu na watawala wao hawakumtambua huyo, lakini walipomhukumu walitimiza mambo yaliyosemwa na Manabii,+ ambayo husomwa kwa sauti kila sabato. 28 Ingawa hawakupata sababu ya kumuua,+ walimtaka Pilato aamuru auawe.+
27 Kwa maana wakaaji wa Yerusalemu na watawala wao hawakumtambua huyo, lakini walipomhukumu walitimiza mambo yaliyosemwa na Manabii,+ ambayo husomwa kwa sauti kila sabato. 28 Ingawa hawakupata sababu ya kumuua,+ walimtaka Pilato aamuru auawe.+