Yohana 12:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Hata hivyo, watawala wengi kwa kweli walimwamini,+ lakini hawakumkiri kwa sababu waliwaogopa Mafarisayo, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+ Matendo 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo, neno la Mungu likazidi kuenea,+ na idadi ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana+ huko Yerusalemu; na umati mkubwa wa makuhani wakawa waamini.+
42 Hata hivyo, watawala wengi kwa kweli walimwamini,+ lakini hawakumkiri kwa sababu waliwaogopa Mafarisayo, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+
7 Kwa hiyo, neno la Mungu likazidi kuenea,+ na idadi ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana+ huko Yerusalemu; na umati mkubwa wa makuhani wakawa waamini.+