-
Luka 23:13-15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Ndipo Pilato akawaita wakuu wa makuhani, watawala, na watu, 14 akawaambia: “Mliniletea mtu huyu mkisema anachochea watu kuasi. Tazama! Nilimhoji mbele yenu lakini sikupata msingi wa mashtaka yenu dhidi yake.+ 15 Kwa kweli, hata Herode hakupata, ndiyo maana alimrudisha kwetu, tazama! ni wazi hajafanya jambo lolote linalostahili kifo.
-