Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:59, 60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Sasa wakuu wa makuhani na Sanhedrini yote walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo dhidi ya Yesu ili wamuue.+ 60 Lakini hawakupata, ingawa mashahidi wengi wa uwongo walijitokeza.+ Baadaye, mashahidi wawili wakajitokeza

  • Luka 23:13-15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Pilato akawaita wakuu wa makuhani, watawala, na watu, 14 akawaambia: “Mliniletea mtu huyu mkisema anachochea watu kuasi. Tazama! Nilimhoji mbele yenu lakini sikupata msingi wa mashtaka yenu dhidi yake.+ 15 Kwa kweli, hata Herode hakupata, ndiyo maana alimrudisha kwetu, tazama! ni wazi hajafanya jambo lolote linalostahili kifo.

  • Yohana 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Pilato akatoka nje tena na kuwaambia: “Ona! Namtoa nje kwenu ili mjue kwamba sijampata na kosa lolote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki