Mathayo 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Wenye furaha ni ninyi, watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa sababu yangu.+ Mathayo 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu,+ lakini yule atakayevumilia* mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+ Mathayo 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Kisha watu watawakabidhi kwenye dhiki+ na kuwaua ninyi,+ nanyi mtachukiwa na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+ 2 Timotheo 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu* katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+ 1 Petro 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+
11 “Wenye furaha ni ninyi, watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa sababu yangu.+
22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu,+ lakini yule atakayevumilia* mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+
9 “Kisha watu watawakabidhi kwenye dhiki+ na kuwaua ninyi,+ nanyi mtachukiwa na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+
12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu* katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+
21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+