Mathayo 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Baba yangu amenikabidhi vitu vyote,+ na hakuna mtu anayemjua Mwana kikamili isipokuwa Baba;+ wala hakuna anayemjua Baba kikamili isipokuwa Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+ Yohana 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kama ninyi mngenijua, mngemjua Baba yangu pia; tangu sasa na kuendelea ninyi mnamjua na mmemwona.”+
27 Baba yangu amenikabidhi vitu vyote,+ na hakuna mtu anayemjua Mwana kikamili isipokuwa Baba;+ wala hakuna anayemjua Baba kikamili isipokuwa Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+
7 Kama ninyi mngenijua, mngemjua Baba yangu pia; tangu sasa na kuendelea ninyi mnamjua na mmemwona.”+