Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baba yangu amenikabidhi vitu vyote, na hakuna mtu anayemjua Mwana isipokuwa Baba, wala hakuna anayemjua Baba isipokuwa Mwana,+ na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.”+

  • Yohana 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 kama Baba anavyonijua mimi, nami ninavyomjua Baba;+ na ninatoa uhai wangu* kwa ajili ya kondoo.+

  • 1 Yohana 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata hivyo, tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupatia ufahamu* ili tuweze kumjua yule aliye wa kweli. Nasi tumo katika muungano na yule aliye wa kweli,+ kupitia Mwana wake, Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki