22 Baba yangu amenikabidhi vitu vyote, na hakuna mtu anayemjua Mwana isipokuwa Baba, wala hakuna anayemjua Baba isipokuwa Mwana,+ na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.”+
20 Hata hivyo, tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja,+ naye ametupatia ufahamu* ili tuweze kumjua yule aliye wa kweli. Nasi tumo katika muungano na yule aliye wa kweli,+ kupitia Mwana wake, Yesu Kristo. Huyo ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele.+